Posts

Showing posts from November, 2017

Hot song on this Radio. listining to enjoy.

https://www.jango.com/music/Sheshee+man
Image
Image

UKIMIA WA PAKA NI WAKATI YU WANYWA MAZIWA.

PAKA AKIWA YUWANYWA MAZIWA  HUWA YUPO KIMIA.  HANA KABISA UGOMVI NA KITU CHOCHOTE.

KIJANA WA PWANI

KIJANA MOJA WA PWANI, ALIKUA NA MZEE KOBERAFIKI WAKE SANA,ILIFIKA WAKATI WAKO SAFARINI, MZEE KOBE MAANA YEYE ALIKUA AMEBEBA GAMBA LA  MGONGO WAKE,IKABIDII AMWAMBIE YULE KIJANA, TAFADHALI UNIBEBE NTAKURIPA. HADI UNIFIKISHE MJINIMWANGU, YULE KIJANA AKMBEBA MZEE KOBE,WAKIWA NJIANI YULE MZEE KOBE KUTIZAMA MWENDO WA KIJANA NI UPI? YEYE  MZEE KOBE AKASEMA HEBU NI SHUKISHE MAANA HUO MWENDO NA WEZA KUTEMBEA  ZAIDI YAKO, JE? NINI MAANA YAKE YA HII HADITHI.. INA MAANISHA SISI VIJANA WA PWANI TUMEKUA NA UVIVU MWINGI SANA SIKU HIZI HATUFANYI KAZI.SHESHEE..

watch out Rafiki Video

Image
https://www.youtube.com/watch?v=GSfMTwOKFMg
Image
Image
natumae mko wazima mi pia niko salama na shukuru, sasa wakati mwingi sisi binadamu,tuna faa katika kila jambo tunalo lifanya, tuwe umakini maana mwaribifu yupo, na siule unae mfahamu kama kunguru, mbali shetani yuko macho na kwako, la msingi nikumuomba Mungu,akulinde kwa kila jambo unalo lifanya maishani mwako, ni ushauri wangu sheshee man.
Image
Image
Image
Image

kama kawa kama dawa lazma watapangawa.

Image