natumae mko wazima mi pia niko salama na shukuru, sasa wakati mwingi sisi binadamu,tuna faa katika kila jambo tunalo lifanya, tuwe umakini maana mwaribifu yupo, na siule unae mfahamu kama kunguru, mbali shetani yuko macho na kwako, la msingi nikumuomba Mungu,akulinde kwa kila jambo unalo lifanya maishani mwako, ni ushauri wangu sheshee man.

Comments

Popular posts from this blog