heri muoga anaokoa maisha yake. lakini asiogope maisha yake.

huu msemo ni wa muhimu sana kwa mwana damu, wakati ashakua amekoma amekua mtu wakujitafutia, maana hata kuku huwaanza kujimba chini akikiwa na uhakika atapata chakula, tusiwe watu wakuongopa  maisha wacha maisha pia yakuheshimu na yatakupeleka vyema sheshee man ni sema, hakuna mwana damu atakosa akitafuta, cha muhimu tu ni bidii na kukosa kukata tamaa..
 

Comments

Popular posts from this blog