Posts

naku elimisha hivi leo,

kuna swari nimeishi kutafuta sana nipate kujua kuhusu kwa neno la kiswahili ni nini? chears kwa kiswahili ya itwa aje? jina  la chears! lina itwa ( maisha malefu ) unakubaliana na mimi? kama haukujua nisha kufahamisha.

msemo wa siku

bila kula hakuna kulala. na bila hatua hakuna kutua, na bila hekima  inamanisha haukusoma,

skiza toka kwangu nikupe makubwa.

Image
sheshee man na penda sana kuelimisha jamii mimi kama msanii kio cha jamii niko pekee yangu mwenye talent hii kwa familia yangu,wengi  maana sikutaka kufungia, mbali niki angalia mamangu ni msanii, uncle yangu alie anga dunia pia alikua msanii. Mungu ailaze mahali pema peponi Roho yake, kama ndio inanipa moto huu wakuandika na kuwafunza wengi wacha basi spirit yake iwe nami kokote na zaidi pale pana mafanikio Amen!

kuna kile kina sumbua kenya saa hii kweri? ni njaanuary pekee.

kuna wengine wanasema afadhali hii mwenzi wa january, iwe na week mbili pekee kwakua watu huumia sana ikifikia huu mwenzi, basi pia naona vitu vyakutumiwa na wanadamu vyoote vipunguzwe bei, itakua poa kenya hatutaona kama ni january, maana imekua excuse ya wakenya kila mara ukimuuliza akusaidie anakuambia kwani hauoni hii ni january,, kama mna jua maana ya jina january meaning yake, hamwezi sema ni kugumu hata kidogo ni maana ni jina lamuhimu sana, kwa mwanadamu, ndo maana unaona hatuko sawa, ikifika january ni wengi sana hujinyima sana ama kunyimana, ambapo mwenzi huu ni mwezi umepewa hilo jina, nikifanya uchunguzi ntakuapa jibu na maana ya jina January.. asante sana by sheshee man.

kati ya mistari ya ngoma ya shukran.

natoka mafichoni huku nikwa mbioni, huku nikisonga mbele kwa giza mimi sion, hivi nitaskikika mpaka pale Radioni. lakini isiwe nisiku zile zausoni, ntafanya bidii nionekane pia kioni kama vile dadangu nyota ndogo wa pwani, nikifanya kibaya plz.. nipe tu maoni, bila ya wewe God siwezi ishi duniani,

kuhusu mwaka mpya

habari ya leo twazungumzia mwaka mpya je? kuna yule anae jua utakua aje? ama kuna wale waliokua washapanga ukifika tu, kuna na hivi na hivi natafanya, yote huwa tuna faa kumuachia Mungu ndie anae panga na anapangua, na shukuru sana kwa Mungu ni fikisha mwaka huu na amani, na mafanikio zaidi na shukuru sana, kwake. kwa hiyo mwanadamu anapanga Mungu anatimiza ndo lilikua jibu langu la leo. Shukran....