kuhusu mwaka mpya

habari ya leo twazungumzia mwaka mpya je? kuna yule anae jua utakua aje? ama kuna wale waliokua washapanga ukifika tu, kuna na hivi na hivi natafanya, yote huwa tuna faa kumuachia Mungu ndie anae panga na anapangua, na shukuru sana kwa Mungu ni fikisha mwaka huu na amani, na mafanikio zaidi na shukuru sana, kwake. kwa hiyo mwanadamu anapanga Mungu anatimiza ndo lilikua jibu langu la leo. Shukran.... 

Comments

Popular posts from this blog