kuna kile kina sumbua kenya saa hii kweri? ni njaanuary pekee.

kuna wengine wanasema afadhali hii mwenzi wa january, iwe na week mbili pekee kwakua watu huumia sana ikifikia huu mwenzi, basi pia naona vitu vyakutumiwa na wanadamu vyoote vipunguzwe bei, itakua poa kenya hatutaona kama ni january, maana imekua excuse ya wakenya kila mara ukimuuliza akusaidie anakuambia kwani hauoni hii ni january,, kama mna jua maana ya jina january meaning yake, hamwezi sema ni kugumu hata kidogo ni maana ni jina lamuhimu sana, kwa mwanadamu, ndo maana unaona hatuko sawa, ikifika january ni wengi sana hujinyima sana ama kunyimana, ambapo mwenzi huu ni mwezi umepewa hilo jina, nikifanya uchunguzi ntakuapa jibu na maana ya jina January.. asante sana by sheshee man.

Comments

Popular posts from this blog